Proverbs 8:1-3

Wito Wa Hekima


1 aJe, hekima haitani?
Je, ufahamu hapazi sauti?

2 Juu ya miinuko karibu na njia,
penye njia panda, ndipo asimamapo;

3 bkando ya malango yaelekeayo mjini,
kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:
Copyright information for SwhKC